~ INGEKUWA VIPI KAMA KILA PUMZI UNAYOIVUTA UNGEKUWA UNAILIPIA??~
Tuesday, November 11, 2008
Awamu ya nne ya maendeleo kwa kasi, nguvu na ari mpya
Hebu tizama hayo maji, kisha ukumbuke japo kwa uchache tu kuhusiana na zile ahadi za mheshimiwa JK, wakati wa kampeni zake. Zimefikiwa kwa asilimia ngapi? Hivi wakazi wa Mbarali hawakupewa ahadi zile? Wameonja hata harufu ya utekelezwaji wake? TAFAKARI


 
© Rama Msangi |Tarehe: 2:24 PM | Permalink |


Maoni: 0