
Rafiki yangu mmoja kanitumia ujumbe eti anaomba sahani hakunialika kwake wakati wa sikukuu ya X-mass, na kwakweli kwa mujibu wa picha hiyo hapo juu yaelekea alikuwa kajiandaa kweli kweli. Si unaona jinsi vyupa vilivyotapakaa kila mahali?
Ila rafiki yangu ikiwa mambo yalikuwa hivyo, hukuwa na haja ya kuona hukunitendea haki kwa kutonialika maana mambo hayo siyawezi, na hata wakati wa pasaka ulosema utanialika ikiwa mambo yatakuwa hivyo basi usihangaike maana sitokuja.