Kizuri zaidi ni kuwa mikutano ya namna hii imekuwa ikigharimu fedha nyingi sana kuiitisha ikiwa ni pamoja na kuweka mambo ya burudani kusudi watu wahamasike kujitokeza na kusikiliza neno hilo la uzima
Cha ajabu sasa ni kuwa kwa kadiri juhidi hizo zinafanyika, ndivyo ambavyo ajali nazo zimekuwa zikiongezeka. Tatizo niniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!! eeh wanaume....why??