kufua kwake ndio usiseme. Lilikuwa linafuliwa katika eneo maalum, na kuanikwa sehemu ya kipekee (mie ilikuwa chini ya godoro, wewe je), lakini sasa mh!!!
Picha kwa hisani ya Mkwinda
Tarehe: December 31, 2007 at 2:33 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: January 1, 2008 at 2:42 AM, Mtoa Maoni:-
AISEE...halafu siku hizi yaani unakuta mtu anakatiza mbele yako au mbele yenu kashikilia hicho kivazi, kisha anaanza kuvuta na lastiki kabisa uhu akisema "tizama braza/sista...hii inakutosha kabisa"
zamani bwana ilikuwa ukiingia dukani kununua kwanza unasubiri watu watoke wote kisha unaagiza haraka haraka tena ile unayoiona mbele yako, na kuondoka haraka haraka ili watu wasikukute hapo....ndio maana nyingine zilikuwa zinakuwa kuuuubwa ama zingine ndooogo....
mh!!!
Tarehe: January 1, 2008 at 1:55 PM, Mtoa Maoni:- Rashid Mkwinda
Nilichokiona na mambo ya mwaka mpya 2008!!!!!!! hadi raja Big up Maan!! badilisha jina sio Msangi Mdogo sasa nadhani umekwisha kuwa Msangi mkubwa hivi wewe ukiwa Msangi Mdogo, mwanao Said naye ataitwa nani?ulikuwa mdogo enzi zile sio sasa juzi juzi tu ulikuwa ni Baba wa Bwana harusi kule Dom bado ni Msangi mdogo tu!!!! badilika Maaaan!!!! but bg up
Hayo ndio matoke ya utandawazi,kama baadhi ya wavaaji wa vazi ilo wanashindwa kulisitiri vizuri maungoni mwao unategemea wauzaji wafanye nini zaidi ya kulinadi utafikiri samaki feri!!!