Sijui hawa nao walikuwa kwenye ule mgao wa yale mabilioni ya JK au vipi. He!! Ananibonyeza mtu hapa anasema labda niulize kuwa walikuwa wanajua kuwa Serikali yao imewatengea mamilioni kwa ajili ya kujikwamua kichumi!!
Tarehe: September 10, 2007 at 3:17 PM, Mtoa Maoni:-
Tarehe: September 10, 2007 at 3:19 PM, Mtoa Maoni:-
Rama kumbuka kuwa hiyo mikopo inahitaji biashara ambayo imesajiliwa. Iwe na cheti cha TRA na kile cha VAT, sijui TIN namba. Wamesajili hao washakji?