~ INGEKUWA VIPI KAMA KILA PUMZI UNAYOIVUTA UNGEKUWA UNAILIPIA??~
Sunday, September 09, 2007
Oparesheni Anga ya Mbowe ndani ya Mbeya
Picha za matukio mbalimbali yaliyojiri wakati wa ziara ya kamanda Mkuu wa Oparesheni ya kisiasa ya Anga, Bw. Freeman Mbowe, alipotembelea jiji la Mbeya.

hapa anawasili

Binafsi nadhani aliamua akashuhudie baada ya Bunge kukataa kuunda kamati

 
© Rama Msangi |Tarehe: 9:51 AM | Permalink |


Maoni: 1


  • Tarehe: September 10, 2007 at 3:29 PM, Mtoa Maoni:- Anonymous Anonymous

    Bunge si lilikataa kuunda tume bwana, inawezekana kweli jamaa aliamua kujifanya tume yeye mwenyewe. Nimeshangaa mwenyekiti hata hakutaka kuwakemea wabunge wa chama chake kwa kutokumtendea mtu aliyechaguliwa na wananachi akawawakilishe, ndivyo sivyo.

    Tuliwatuma wakatuwakilishe kwakweli lakini katika hili la Zitto, hakuna mwananchi anayekubaliana na kile wawakilishi wetu wamekifanya