~ INGEKUWA VIPI KAMA KILA PUMZI UNAYOIVUTA UNGEKUWA UNAILIPIA??~
Friday, September 14, 2007
Ni sawa lakini mbona.........

Hapa ni katikati ya Jiji la Mbeya. Uhamasishaji wa namna hii ni wa maana sana na ni wa kawaida kabisa maeneo ya mijini. Hivi kule kwetu Usangi yapo mabango kama haya? Kule Kirongaya kule yapo haya? Chunya huko makongolosi, Mkwajuni, yapo haya mabango na huduma hizo?
 
© Rama Msangi |Tarehe: 1:50 PM | Permalink |


Maoni: 0