~ INGEKUWA VIPI KAMA KILA PUMZI UNAYOIVUTA UNGEKUWA UNAILIPIA??~
Friday, September 07, 2007
Mapambano dhidi ya kuenea kwa VVU
Jicho langu la tatu liliwakuta jamaa hawa wakiwa wanakatisha mbele ya ukuta wenye ujumbe mnaouona hapo, wakiwa wanajitahidi sana kutokugeusa hata nyuso zao kuusoma, nikajiuliza

Hivi hawa ambao hata kuugeukia huo ukuta wakasoma kile kilichoandikwa hapo inawawia shida, kweli wanaweza kuifanya hiyo sehemu kwa salama??
 
© Rama Msangi |Tarehe: 9:53 AM | Permalink |


Maoni: 0